Naibu Waziri wa Fedha , Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde akipokea maelezo kuhusiana na majukumu ya PSPTB kutoka kwa Mkuu wa Kitengo Cha Uhusiano kwa Umma na Mawasiliano Bi. Shamim Mdee mara alipotembelea banda la PSPTB wakati wa maonesho ya 50 ya kimataifa ya Biashara Sabasaba.
Wananchi mbalimbali wameendelea kutembelea banda la PSPTB katika maonesho ya 50 ya kimataifa ya biashara sabasaba ili kupata elimu juu ya shughuli na majukumu mbalimbali yanayofanywa na PSPTB.
Wananchi mbalimbali wameendelea kutembelea banda la PSPTB katika maonesho ya 50 ya kimataifa ya biashara sabasaba ili kupata elimu juu ya shughuli na majukumu mbalimbali yanayofanywa na PSPTB.
Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB CPSP.Godfred Mbanyi akisaini kitabu cha wageni mara alipotembelea banda la PSPTB katika maonesho ya 50 ya kimataifa ya biashara sabasaba
Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB CPSP.Godfred Mbanyi akipokea maelezo mbalimbali kuhusu huduma zinazotolewa na Ofisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST) wakati akitembelea mabanda mbalimbali ndani ya jengo la wizara ya Fedha
Mgeni rasmi wa kongamano la 16 la mwaka la wataalam wa ununuzi na ugavi Mhe. Mshamu Munde (katikati) akiwa pamoja na meza kuu wakati wa kongamano hilo lilifanyika katika ukumbi wa AICC jijini Arusha
Graduates of the procurement and supply chain audit course pose for a group photo at the main table during the 14th PSPTB graduation ceremony held at the JNICC hall, Dar es Salaam.
wanafunzi wa fani ya ununuzi na Ugavi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma wakimsikiliza mwezeshaji kutoka PSPTB. PSPTB ilitembelea Chuoni hapo ili kuzungumza na wanafunzi hao kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Bodi ikiwemo Usajili na Mitihani
Baadhi ya watahiniwa wa mitihani ya PSPTB wakiwa kwenye chumba cha mitihani wakati wa mitihani hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Suma JKT jijini Dar es salaam.
Baadhi ya watahiniwa wa mitihani ya PSPTB wakiwa kwenye chumba cha mitihani wakati wa mitihani hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Suma JKT jijini Dar es salaam.