Menejimenti ya PSPTB wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi la PSPTB lililofanyika katika ukumbi wa Regency mkoani Singida
Watumishi wa PSPTB wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi la PSPTB lililofanyika katika ukumbi wa Regency mkoani Singida
Wanachama wa TUGHE PSPTB wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi la PSPTB lililofanyika katika ukumbi wa Regency mkoani Singida
Mgeni Rasmi katika kongamano la 16 la wataalam wa ununuzi na ugavi Mhe. Mshamu Munde akipatiwa maelezo kuhusu huduma za NHC mara alipotembelea banda la NHC wakati wa ufunguzi wa kongamano la 16 la wataalam wa ununuzi na ugavi
Mgeni Rasmi katika kongamano la 16 la wataalam wa ununuzi na ugavi Mhe. Mshamu Munde akipatiwa maelezo kuhusu huduma za PPRA mara alipotembelea banda la PPRA wakati wa ufunguzi wa kongamano la 16 la wataalam wa ununuzi na ugavi
Mgeni Rasmi katika kongamano la 16 la wataalam wa ununuzi na ugavi Mhe. Mshamu Munde (aliyeketi katikati) akiwa na meza kuu, katika Ukumbi wa simba, AICC Jijini Arusha wakati wa ufunguzi wa kongamano la 16 la wataalam wa ununuzi na ugavi
Mgeni rasmi wa kongamano la 16 la mwaka la wataalam wa ununuzi na ugavi Mhe. Mshamu Munde (katikati) akiwa pamoja na meza kuu wakati wa kongamano hilo lilifanyika katika ukumbi wa AICC jijini Arusha
baadhi ya washiriki wa kongamano la 16 la mwaka la wataalamu wa ununuzi na ugavi. wakiwa katika ukumbi wa simba uliopo AICC jijini Arusha.
Wahitimu wa mitihani ya PSPTB wakiapa mbele ya mgeni rasmi wakati wa mahafali ya 14 ya mitihani hiyo yaliyofanyika katika ukumbi wa JNICC Dar es salaam.