Mamlaka ya Ununuzi na uondoshaji Mali Uganda (PPDA) wametembelea PSPTB ili kubadirishana uzoefu katika masuala ya uendeshaji wa taaluma ya Ununuzi na Ugavi katika Ukanda wa Afrika Mashariki
Washiriki wa mafunzo ya uongozi wa kimkakati na utawala bora katika eneo la usimamizi wa mnyororo wa Ununuzi na Ugavi wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB CPSP. godfred Mbanyi.
Washiriki wa mafunzo ya uongozi wa kimkakati na utawala bora katika eneo la usimamizi wa mnyororo wa Ununuzi na Ugavi wakifuatilia maada mbalimbali katika mafunzo hayo yaliyofanyika Hotel Verde Zanzibar.
Washiriki wa mafunzo ya uongozi wa kimkakati na utawala bora katika eneo la usimamizi wa mnyororo wa Ununuzi na Ugavi wakifuatilia maada mbalimbali katika mafunzo hayo yaliyofanyika Hotel Verde Zanzibar.
Maafisa kutoka PSPTB kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa taaluma ya Ununuzi na Ugavi kutoka Chuo Kikuu cha Teofili Kisanji kilichopo Jijini Mbeya
Afisa masoko kutoka PSPTB ndugu,Dickson Mollel akiwa kwenye kipindi cha maswali na majibu mara baada ya kuhitimisha semina ilioandaliwa na PSPTB kwa wanafunzi wanaosomea taaluma ya ununuzi na ugavikatika chuo cha uhasibu (IAA) kampasi ya Babati mkoani Manyara.
Maafisa kutoka PSPTB wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu kampasi ya Babati baada ya kupokea zawadi baada ya ushiriki mzuri katika semina iliotolewa na PSPTB chuoni hapo .
Wanafunzi wa Ununuzi na Ugavi kutoka TIA (Kampasi ya Mbeya) wakifuatilia mada mbalimbali zilizotolewa na Maafisa kutoka PSPTB, PSPTB ilitembelea chuo hicho ili kutoa elimu kwa wanafunzi wa fani hiyo juu ya kazi mbalimbali za Bodi
Menejimenti ya PSPTB wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi la PSPTB lililofanyika katika ukumbi wa Regency mkoani Singida
Watumishi wa PSPTB wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi la PSPTB lililofanyika katika ukumbi wa Regency mkoani Singida