wanafunzi wa fani ya ununuzi na Ugavi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma wakimsikiliza mwezeshaji kutoka PSPTB. PSPTB ilitembelea Chuoni hapo ili kuzungumza na wanafunzi hao kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Bodi ikiwemo Usajili na Mitihani
wanafunzi wa fani ya ununuzi na Ugavi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma wakimsikiliza mwezeshaji kutoka PSPTB. PSPTB ilitembelea Chuoni hapo ili kuzungumza na wanafunzi hao kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Bodi ikiwemo Usajili na Mitihani
Baadhi ya watahiniwa wa mitihani ya PSPTB wakiwa kwenye chumba cha mitihani wakati wa mitihani hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Suma JKT jijini Dar es salaam.
Baadhi ya watahiniwa wa mitihani ya PSPTB wakiwa kwenye chumba cha mitihani wakati wa mitihani hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Suma JKT jijini Dar es salaam.
Mamlaka ya Ununuzi na uondoshaji Mali Uganda (PPDA) wametembelea PSPTB ili kubadirishana uzoefu katika masuala ya uendeshaji wa taaluma ya Ununuzi na Ugavi katika Ukanda wa Afrika Mashariki
Washiriki wa mafunzo ya uongozi wa kimkakati na utawala bora katika eneo la usimamizi wa mnyororo wa Ununuzi na Ugavi wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB CPSP. godfred Mbanyi.
Washiriki wa mafunzo ya uongozi wa kimkakati na utawala bora katika eneo la usimamizi wa mnyororo wa Ununuzi na Ugavi wakifuatilia maada mbalimbali katika mafunzo hayo yaliyofanyika Hotel Verde Zanzibar.
Washiriki wa mafunzo ya uongozi wa kimkakati na utawala bora katika eneo la usimamizi wa mnyororo wa Ununuzi na Ugavi wakifuatilia maada mbalimbali katika mafunzo hayo yaliyofanyika Hotel Verde Zanzibar.
Maafisa kutoka PSPTB kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa taaluma ya Ununuzi na Ugavi kutoka Chuo Kikuu cha Teofili Kisanji kilichopo Jijini Mbeya
Afisa masoko kutoka PSPTB ndugu,Dickson Mollel akiwa kwenye kipindi cha maswali na majibu mara baada ya kuhitimisha semina ilioandaliwa na PSPTB kwa wanafunzi wanaosomea taaluma ya ununuzi na ugavikatika chuo cha uhasibu (IAA) kampasi ya Babati mkoani Manyara.