Kongamano la Wataalamu
Katika wiki ya kwanza ya mwezi Desemba kila mwaka wataalamu wa ununuzi na ugavi kutoka nyanja mbali mbali za kiuchumi hukutana katika kongamano ili kuwapa wasaa wa kubadilishana uzoefu wa ndani na nje ya nchi. Maazimio yatolewayo wakati wa kongamano hili huwafikia watunga sera na serikali kwa ujumla pamoja na Bodi. Hii huwasaidia wataalamu kukuza wigo wa taaluma yao na kujiwekea mikakati endelevu ya miaka ijayo.
1) HABARI MPYA
The Board is proud to announce that will be hosting the 12th Annual Professionals’ conference from 30thNovember to 3rdDecember 2021 at AICC -Arusha City. The conference will bring together all professionals across the Country and in the region to discuss the deliberate issues around thematic area of “innovative solutions for sustainable procurement and supply chain practices: “realizing competitiveness and industrialization for social development”.
INVITATION FOR 12TH ANNUAL CONFERENCE FROM 30TH NOV - 03RD DEC, 2021 AT AICC - ARUSHA.
KONGAMANO LA 12 LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI, 2021
Kushiriki, bofya hapa https://registration.psptb.go.tz/
THE 11TH PROFESSIONALS ANNUAL CONFERENCE PAPERS.
DETAILED PAPERS FOR 2020 PROFESSIONALS ANNUAL CONFERENCE
KONGAMANO LA 11 LA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
For Invitation letter please click link below
Annual Conference Invitation Letter for Professionals 2020